news update
Posted on: February 16th, 2023![](http://songwerrh.go.tz/storage/app/uploads/public/63e/df8/570/thumb_118_800_420_0_0_crop.jpg)
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe na Kuzungumza na watumishi wa Hospitali leo tarehe 15/02/2023 ikiwa ni ziara ya kukagua utoaji huduma na uboreshaji wa miundombinu ikiwa ni kutekeleza maelekezo ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.